Kumbukumbu la Torati 32:43 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atailipizia kisasi damu ya watumishi wake,+Atawalipiza kisasi maadui wake+Na kufunika dhambi ya* nchi ya watu wake.” Zaburi 117:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 117 Msifuni Yehova, enyi mataifa yote;+Mtukuzeni, enyi mataifa yote.*+ Isaya 11:10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+Kwa maana atailipizia kisasi damu ya watumishi wake,+Atawalipiza kisasi maadui wake+Na kufunika dhambi ya* nchi ya watu wake.”