Zaburi 104:27, 28 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 27 Wote wanakungojea weweUwape chakula chao kwa wakati wake.+ 28 Wanakusanya unachowapa.+ Unapofumbua mkono wako, wanashiba vitu vyema.+ Zaburi 107:9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 9 Kwa maana amewatosheleza wenye kiu*Na kuwashibisha wenye njaa* kwa vitu vyema.+ Zaburi 132:14, 15 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzikia milele;Nitakaa hapa,+ kwa maana nimepatamani. 15 Nitapabariki sana kwa vyakula;Nitawashibisha maskini wake kwa mikate.+
27 Wote wanakungojea weweUwape chakula chao kwa wakati wake.+ 28 Wanakusanya unachowapa.+ Unapofumbua mkono wako, wanashiba vitu vyema.+
14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzikia milele;Nitakaa hapa,+ kwa maana nimepatamani. 15 Nitapabariki sana kwa vyakula;Nitawashibisha maskini wake kwa mikate.+