-
Zaburi 107:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 Aliwatoa katika giza zito sana,
Na kuzikata pingu zao.+
-
-
Zaburi 142:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Nitoe katika gereza lililo chini ya ardhi
Ili nilisifu jina lako.
Waadilifu na wakusanyike kunizunguka
Kwa sababu unanitendea kwa fadhili.
-