Mathayo 26:38 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 38 Ndipo akawaambia: “Nimehuzunika* sana, kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mwendelee kukesha pamoja nami.”+ Marko 14:33 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 33 Akaondoka pamoja na Petro, Yakobo, na Yohana,+ naye akaanza kufadhaika* na kutaabika sana.
38 Ndipo akawaambia: “Nimehuzunika* sana, kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mwendelee kukesha pamoja nami.”+