Zaburi 59:5, 6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 5 Kwa maana wewe, Ee Yehova Mungu wa majeshi, ni Mungu wa Israeli.+ Amka uyakazie uangalifu mataifa yote. Usiwaonyeshe rehema wasaliti wowote wenye nia ya kudhuru.+ (Sela) 6 Wanarudi kila jioni;+Wanabweka* kama mbwa+ na kuzungukazunguka jijini.+ Luka 22:63 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 63 Sasa wale wanaume waliokuwa wamemkamata Yesu wakaanza kumdhihaki+ na kumpiga;+
5 Kwa maana wewe, Ee Yehova Mungu wa majeshi, ni Mungu wa Israeli.+ Amka uyakazie uangalifu mataifa yote. Usiwaonyeshe rehema wasaliti wowote wenye nia ya kudhuru.+ (Sela) 6 Wanarudi kila jioni;+Wanabweka* kama mbwa+ na kuzungukazunguka jijini.+