-
Ezekieli 34:13, 14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
13 Nitawatoa katika mataifa na kuwakusanya pamoja kutoka katika nchi hizo na kuwaleta katika nchi yao na kuwalisha kwenye milima ya Israeli,+ kando ya vijito na kando ya makao yote nchini. 14 Nitawalisha kwenye malisho mazuri, na nchi ambamo watalisha itakuwa kwenye milima mirefu ya Israeli.+ Huko watalala katika nchi yenye malisho mazuri,+ nao watakula kwenye malisho bora juu ya milima ya Israeli.”
-