1 Mambo ya Nyakati 29:11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 11 Ee Yehova, ukuu ni wako+ na nguvu+ na uzuri na fahari na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiye unayejikweza mwenyewe ukiwa mkuu* juu ya vyote. Ayubu 41:11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 11 Ni nani aliyenipa kitu chochote kwanza ili nimlipe?+ Chochote kilicho chini ya mbingu ni changu.+ 1 Wakorintho 10:26 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 26 kwa maana “dunia na vyote vilivyomo ni vya Yehova.”*+
11 Ee Yehova, ukuu ni wako+ na nguvu+ na uzuri na fahari na utukufu,*+ kwa maana kila kitu mbinguni na duniani ni chako.+ Ufalme ni wako, Ee Yehova.+ Wewe Ndiye unayejikweza mwenyewe ukiwa mkuu* juu ya vyote.