-
Isaya 33:15, 16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Yule anayetembea katika uadilifu wa daima,+
Anayesema mambo manyoofu,+
Anayekataa faida isiyo ya haki, ya ulaghai,
Ambaye mikono yake inakataa rushwa badala ya kuichukua kwa nguvu,+
Anayeziba sikio lake ili lisisikilize mazungumzo ya umwagaji wa damu,
Na anayefunga macho yake ili yasione maovu
16 —Atakaa katika vilele;
Kimbilio lake salama* litakuwa katika ngome zilizo kwenye miamba,
Atapewa mkate wake,
Naye maji yake hayataisha kamwe.”+
-
-
Mathayo 5:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 “Wenye furaha ni wale walio safi moyoni,+ kwa kuwa watamwona Mungu.
-