Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:21
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 21 Yehova hunithawabisha kulingana na uadilifu wangu;+

      Hunilipa kulingana na usafi wa* mikono yangu.+

  • Isaya 33:15, 16
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 15 Yule anayetembea katika uadilifu wa daima,+

      Anayesema mambo manyoofu,+

      Anayekataa faida isiyo ya haki, ya ulaghai,

      Ambaye mikono yake inakataa rushwa badala ya kuichukua kwa nguvu,+

      Anayeziba sikio lake ili lisisikilize mazungumzo ya umwagaji wa damu,

      Na anayefunga macho yake ili yasione maovu

      16 —Atakaa katika vilele;

      Kimbilio lake salama* litakuwa katika ngome zilizo kwenye miamba,

      Atapewa mkate wake,

      Naye maji yake hayataisha kamwe.”+

  • Mathayo 5:8
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 8 “Wenye furaha ni wale walio safi moyoni,+ kwa kuwa watamwona Mungu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki