Kutoka 33:19 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 19 Lakini akamwambia: “Nitaufanya wema wangu wote upite mbele ya uso wako, nami nitatangaza jina langu Yehova mbele yako;+ nami nitamwonyesha kibali yule ninayetaka kumwonyesha kibali, nami nitamwonyesha rehema yule ninayetaka kumwonyesha rehema.”+ Zaburi 27:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 13 Ningekuwa wapi ikiwa singekuwa na imaniKwamba nitauona wema wa Yehova katika nchi ya walio hai?*+
19 Lakini akamwambia: “Nitaufanya wema wangu wote upite mbele ya uso wako, nami nitatangaza jina langu Yehova mbele yako;+ nami nitamwonyesha kibali yule ninayetaka kumwonyesha kibali, nami nitamwonyesha rehema yule ninayetaka kumwonyesha rehema.”+