Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 3:3
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 3 Taa ya Mungu+ haikuwa imezimwa, na Samweli alikuwa amelala katika hekalu*+ la Yehova, mahali ambapo Sanduku la Mungu lilikuwa.

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:1
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 16 Basi wakaliingiza Sanduku la Mungu wa kweli na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amepiga ili aliweke humo;+ nao wakatoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+

  • Zaburi 27:4
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  4 Nimemwomba Yehova jambo moja

      —Ndilo nitakalolitafuta—

      Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+

      Ili kuutazama uzuri wa Yehova

      Na kutazama kwa uthamini* hekalu lake.*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki