1 Samweli 3:3 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 3 Taa ya Mungu+ haikuwa imezimwa, na Samweli alikuwa amelala katika hekalu*+ la Yehova, mahali ambapo Sanduku la Mungu lilikuwa. 1 Mambo ya Nyakati 16:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 16 Basi wakaliingiza Sanduku la Mungu wa kweli na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amepiga ili aliweke humo;+ nao wakatoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+ Zaburi 27:4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 Nimemwomba Yehova jambo moja—Ndilo nitakalolitafuta—Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+Ili kuutazama uzuri wa YehovaNa kutazama kwa uthamini* hekalu lake.*+
3 Taa ya Mungu+ haikuwa imezimwa, na Samweli alikuwa amelala katika hekalu*+ la Yehova, mahali ambapo Sanduku la Mungu lilikuwa.
16 Basi wakaliingiza Sanduku la Mungu wa kweli na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amepiga ili aliweke humo;+ nao wakatoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+
4 Nimemwomba Yehova jambo moja—Ndilo nitakalolitafuta—Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+Ili kuutazama uzuri wa YehovaNa kutazama kwa uthamini* hekalu lake.*+