Zaburi 25:12, 13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 12 Ni nani anayemwogopa Yehova?+ Atamfundisha kuhusu njia anayopaswa kuchagua.+ נ [Nun] 13 Atajionea* yaliyo mema,+Na wazao wake wataimiliki* dunia.+ Zaburi 37:29 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Mathayo 5:5 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 5 “Wenye furaha ni wale walio wapole,+ kwa kuwa watairithi dunia.+ 2 Petro 2:9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
12 Ni nani anayemwogopa Yehova?+ Atamfundisha kuhusu njia anayopaswa kuchagua.+ נ [Nun] 13 Atajionea* yaliyo mema,+Na wazao wake wataimiliki* dunia.+