Zaburi 25:12, 13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 12 Ni nani anayemwogopa Yehova?+ Atamfundisha kuhusu njia anayopaswa kuchagua.+ נ [Nun] 13 Atajionea* yaliyo mema,+Na wazao wake wataimiliki* dunia.+ Zaburi 37:29 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Mathayo 5:5 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 5 “Wenye furaha ni wale walio wapole,+ kwa kuwa watairithi dunia.+ 2 Petro 2:9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 9 Hivyo basi, Yehova* anajua jinsi ya kuwakomboa kutoka kwenye jaribu watu wenye ujitoaji-kimungu,*+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu ili waangamizwe* katika siku ya hukumu,+
12 Ni nani anayemwogopa Yehova?+ Atamfundisha kuhusu njia anayopaswa kuchagua.+ נ [Nun] 13 Atajionea* yaliyo mema,+Na wazao wake wataimiliki* dunia.+
9 Hivyo basi, Yehova* anajua jinsi ya kuwakomboa kutoka kwenye jaribu watu wenye ujitoaji-kimungu,*+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu ili waangamizwe* katika siku ya hukumu,+