Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 18:21
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 21 Kwa hiyo Sauli akasema: “Nitampa Daudi binti huyo ili awe mtego kwake, na ili mikono ya Wafilisti imuue.”+ Kisha Sauli akamwambia hivi Daudi mara ya pili: “Utafanya mapatano ya ndoa pamoja nami* leo.”

  • 1 Samweli 18:25
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 25 Kwa hiyo Sauli akasema: “Hivi ndivyo mnavyopaswa kumwambia Daudi: ‘Mfalme hataki mahari yoyote+ isipokuwa magovi 100 ya Wafilisti,+ ili mfalme awalipize kisasi maadui wake.’” Lakini Sauli alikuwa anapanga njama ili Wafilisti wamuue Daudi.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki