Isaya 46:4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 Hata utakapozeeka nitakuwa yuleyule;+Hata kichwa chako kikiwa na mvi nitaendelea kukubeba. Kama nilivyofanya, nitakubeba na kukuchukua na kukuokoa.+ 1 Wakorintho 10:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 13 Hakuna majaribu ambayo yamewapata ninyi ila yale yaliyo ya kawaida kwa watu.+ Lakini Mungu ni mwaminifu, naye hatawaacha mjaribiwe kupita mnavyoweza kuhimili,+ bali pamoja na majaribu hayo ataifanya pia njia ya kutokea ili mweze kuyavumilia.+
4 Hata utakapozeeka nitakuwa yuleyule;+Hata kichwa chako kikiwa na mvi nitaendelea kukubeba. Kama nilivyofanya, nitakubeba na kukuchukua na kukuokoa.+
13 Hakuna majaribu ambayo yamewapata ninyi ila yale yaliyo ya kawaida kwa watu.+ Lakini Mungu ni mwaminifu, naye hatawaacha mjaribiwe kupita mnavyoweza kuhimili,+ bali pamoja na majaribu hayo ataifanya pia njia ya kutokea ili mweze kuyavumilia.+