-
Esta 9:24, 25Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
24 Kwa maana Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ adui ya Wayahudi wote, alikuwa amepanga njama ya kuwaangamiza Wayahudi,+ na alikuwa amepiga Puri,+ yaani, Kura, ili kuwatisha na kuwaangamiza. 25 Lakini Esta alipokuja mbele ya mfalme, mfalme alitoa agizo lililoandikwa hivi:+ “Njama yake mbaya dhidi ya Wayahudi+ na irudi juu ya kichwa chake mwenyewe”; nao wakamtundika yeye pamoja na wanawe mtini.+
-