-
Yoshua 1:9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 Je, si mimi niliyekuamuru uwe jasiri na imara? Basi uwe jasiri na imara. Usitetemeke wala kuogopa, kwa maana mimi Yehova Mungu wako nipo pamoja nawe mahali popote utakapoenda.”+
-
-
Yeremia 1:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 Nao hakika watapigana nawe,
Lakini hawatakushinda,
Kwa maana ‘Mimi niko pamoja nawe,’+ asema Yehova, ‘ili nikuokoe.’”
-