Zaburi 39:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 6 Kwa hakika kila mwanadamu hutembea huku na huku kama kivuli. Hukimbia huku na huku* bila sababu. Hurundika mali, bila kujua ni nani atakayeifurahia.+ Methali 11:4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 Mali haitakuwa* na faida yoyote siku ya ghadhabu,+Lakini uadilifu ndio utakaookoa kutoka katika kifo.+ Methali 23:4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 Usijichoshe kupata utajiri.+ Acha, na uonyeshe uelewaji.* Mhubiri 2:18 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 18 Nikachukia vitu vyote nilivyokuwa nimefanya kazi ngumu chini ya jua ili kuvipata,+ kwa sababu ni lazima nimwachie mtu atakayekuja baada yangu.+ Luka 12:19, 20 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
6 Kwa hakika kila mwanadamu hutembea huku na huku kama kivuli. Hukimbia huku na huku* bila sababu. Hurundika mali, bila kujua ni nani atakayeifurahia.+
4 Mali haitakuwa* na faida yoyote siku ya ghadhabu,+Lakini uadilifu ndio utakaookoa kutoka katika kifo.+
18 Nikachukia vitu vyote nilivyokuwa nimefanya kazi ngumu chini ya jua ili kuvipata,+ kwa sababu ni lazima nimwachie mtu atakayekuja baada yangu.+