Ayubu 33:28 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 28 Ameikomboa nafsi yangu isiingie* shimoni,*+Na uhai wangu utaona nuru.’ Zaburi 16:10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 10 Kwa maana hutaniacha* Kaburini.*+ Hutamruhusu mshikamanifu wako aone shimo.*+ Zaburi 30:3 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 3 Ee Yehova, umeniinua* kutoka Kaburini.*+ Ulifanya niendelee kuwa hai; uliniokoa nisizame shimoni.*+ Zaburi 86:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 13 Kwa maana upendo wako mshikamanifu ni mkuu kwangu,Nawe umeuokoa uhai wangu* kutoka katika vina vya Kaburi.*+
3 Ee Yehova, umeniinua* kutoka Kaburini.*+ Ulifanya niendelee kuwa hai; uliniokoa nisizame shimoni.*+
13 Kwa maana upendo wako mshikamanifu ni mkuu kwangu,Nawe umeuokoa uhai wangu* kutoka katika vina vya Kaburi.*+