- 
	                        
            
            Ruthu 3:10, 11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
- 
                            - 
                                        10 Basi Boazi akasema: “Yehova na akubariki, binti yangu. Wakati huu, umetenda kwa upendo mshikamanifu zaidi kuliko mwanzoni,+ kwa kuwa hukuwafuata wale vijana, matajiri au maskini. 11 Na sasa binti yangu, usiogope. Nitakufanyia kila jambo utakalosema,+ kwa maana kila mtu jijini* anajua kwamba wewe ni mwanamke bora. 
 
-