-
1 Wafalme 8:31, 32Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
31 “Mwanadamu akimtendea dhambi mwanadamu mwenzake, naye aapishwe* na kuwekwa chini ya wajibu wa kiapo hicho,* naye akiwa chini ya kiapo* aje mbele ya madhabahu yako katika nyumba hii,+ 32 basi usikie kutoka mbinguni na kuchukua hatua na kuwahukumu watumishi wako kwa kumtangaza yule mwovu kuwa na hatia na kumwadhibu kwa sababu ya jambo alilotenda,* na kumtangaza mwadilifu kuwa asiye na hatia* na kumthawabisha kulingana na uadilifu wake mwenyewe.+
-