-
Nehemia 2:7, 8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Kisha nikamwambia mfalme: “Ukipenda, Ee mfalme, naomba nipewe barua niwapelekee magavana wa eneo lililo Ng’ambo ya Mto,*+ ili waniruhusu kupita hadi nifike Yuda salama salimini, 8 pia barua nimpelekee Asafu mtunzaji wa Bustani ya Mfalme,* ili anipe mbao za kujengea mihimili ya malango ya Ngome+ ya ile Nyumba* na kuta za jiji+ na nyumba nitakayoishi.” Basi mfalme akanipa barua hizo,+ kwa sababu mkono mwema wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu.+
-