Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 2:7, 8
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 7 Kisha nikamwambia mfalme: “Ukipenda, Ee mfalme, naomba nipewe barua niwapelekee magavana wa eneo lililo Ng’ambo ya Mto,*+ ili waniruhusu kupita hadi nifike Yuda salama salimini, 8 pia barua nimpelekee Asafu mtunzaji wa Bustani ya Mfalme,* ili anipe mbao za kujengea mihimili ya malango ya Ngome+ ya ile Nyumba* na kuta za jiji+ na nyumba nitakayoishi.” Basi mfalme akanipa barua hizo,+ kwa sababu mkono mwema wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu.+

  • Isaya 44:28
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 28 Ninayesema kumhusu Koreshi,+ ‘Yeye ni mchungaji wangu,

      Naye atatimiza kikamili mapenzi yangu yote’;+

      Ninayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Litajengwa upya,’

      Na kuhusu hekalu, ‘Msingi wako utawekwa.’”+

  • Ufunuo 17:17
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 17 Kwa maana Mungu alitia hilo ndani ya mioyo yao ili kutekeleza wazo lake,+ ndiyo, kutekeleza lile wazo lao moja kwa kumpa yule mnyama wa mwituni+ ufalme wao, mpaka maneno ya Mungu yatakapokwisha kutimizwa.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki