-
Yakobo 1:15Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Kisha tamaa, wakati imetunga mimba, huzaa dhambi; nayo dhambi, baada ya kufanywa, huleta kifo.+
-
-
2 Petro 2:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 Ingekuwa afadhali kwao kama hawangejua kwa usahihi njia ya uadilifu kuliko baada ya kuijua wageuke kutoka kwenye amri takatifu waliyopokea.+
-