-
Hesabu 31:50Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
50 Kwa hiyo mruhusu kila mmoja wetu atoe vitu alivyopata ili viwe vya Yehova, yaani, vitu vya dhahabu, mikufu ya miguuni, bangili, pete za muhuri, vipuli, na vito vingine, ili Yehova afunike dhambi zetu.”
-
-
1 Timotheo 6:18Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
18 Waambie watende mema, wawe matajiri katika matendo mazuri, wawe wakarimu, tayari kushiriki vitu na wengine,+
-