-
Zaburi 102:15, 16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Mataifa yataliogopa jina la Yehova,
Na wafalme wote wa dunia utukufu wako.+
-
-
Isaya 37:20Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
20 Lakini sasa, Ee Yehova Mungu wetu, tuokoe kutoka mikononi mwake, ili falme zote duniani zijue kwamba wewe peke yako ndiye Mungu, Ee Yehova.”+
-