18 Yehova anasema hivi:
“Ninawakusanya mateka wa mahema ya Yakobo,+
Nami nitayahurumia makao yake.
Jiji litajengwa upya juu ya kilima chake,+
Na mnara wenye ngome utasimama mahali pake panapofaa.
19 Na kutoka kwao kutakuwa na shukrani na sauti za kicheko.+
Nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+
Nitawafanya kuwa wengi,
Nao hawatakuwa duni.+