-
Mika 7:16, 17Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 Mataifa yataona na kuaibika licha ya nguvu zote walizo nazo.+
Watafunika kinywa chao kwa mkono wao;
Masikio yao yatakuwa kiziwi.
17 Wataramba mavumbi kama nyoka;+
Kama wanyama wanaotambaa wa duniani watatoka katika ngome zao wakitetemeka.
Watakuja kwa Yehova Mungu wetu wakiwa na hofu,
Nao watakuogopa wewe.”+
-