-
Zekaria 13:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 “Ee upanga, amka umshambulie mchungaji wangu,+
Mshambulie rafiki yangu,” asema Yehova wa majeshi.
-
-
Yohana 11:49, 50Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
49 Lakini mmoja wao aitwaye Kayafa,+ aliyekuwa kuhani mkuu mwaka huo, akawaambia: “Ninyi hamjui chochote, 50 na hamwelewi kwamba ni kwa faida yenu mtu mmoja afe kwa ajili ya watu kuliko taifa lote liangamizwe.”
-
-
Waroma 5:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Kwa maana, kwa kweli, tulipokuwa bado dhaifu,+ Kristo alikufa wakati uliowekwa kwa ajili ya watu wasiomwogopa Mungu.
-