-
Ezekieli 16:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 “‘Nilipokuwa nikipita na kukuona, nilitambua kwamba ulikuwa na umri wa kutosha kuonyeshwa upendo. Basi nikatandaza vazi langu juu yako+ na kuufunika uchi wako, nami nikaapa na kufanya agano pamoja nawe,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nawe ukawa wangu.
-
-
Hosea 2:16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 Na siku hiyo,’ asema Yehova,
‘Utaniita mume Wangu, hutaniita tena bwana Wangu.’*
-