Isaya 30:9, 10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 9 Kwa maana wao ni watu waasi,+ wana wadanganyifu,+Wana wasiotaka kusikia sheria* ya Yehova.+ 10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’ Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+ Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+ Isaya 59:3 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 3 Kwa maana viganja vyenu vimechafuliwa kwa damu+Na vidole vyenu kwa kosa. Midomo yenu inasema uwongo,+ na ulimi wenu unanong’ona ukosefu wa uadilifu.
9 Kwa maana wao ni watu waasi,+ wana wadanganyifu,+Wana wasiotaka kusikia sheria* ya Yehova.+ 10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’ Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+ Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+
3 Kwa maana viganja vyenu vimechafuliwa kwa damu+Na vidole vyenu kwa kosa. Midomo yenu inasema uwongo,+ na ulimi wenu unanong’ona ukosefu wa uadilifu.