20 Lakini Isaya anakuwa na ujasiri sana na kusema: “Wale ambao hawakuwa wakinitafuta walinipata;+ wale ambao hawakuwa wakiuliza juu yangu walinijua.”+ 21 Lakini anasema kuhusiana na Israeli: “Mchana kutwa nimewanyooshea mikono yangu watu wasiotii na wakaidi.”+