Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 7:24
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 24 Yoshua na Waisraeli wote wakamchukua Akani+ mwana wa Zera, zile fedha, lile vazi rasmi maridadi, na kile kipande cha dhahabu,+ pamoja na wanawe, binti zake, ng’ombe dume wake, punda wake, kondoo na mbuzi wake, hema lake, na vitu vyake vyote, wakavileta katika Bonde la* Akori.+

  • Hosea 2:15
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 15 Nitamrudishia mashamba yake ya mizabibu kuanzia wakati huo na kuendelea,+

      Na Bonde la* Akori+ liwe lango la tumaini;

      Atanijibu huko kama alivyofanya alipokuwa kijana,

      Kama siku aliyotoka katika nchi ya Misri.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki