Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 12:1
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 Siku hiyo hakika utasema:

      “Ninakushukuru, Ee Yehova,

      Kwa maana ingawa ulinikasirikia,

      Hasira yako ilipoa hatua kwa hatua, nawe ukanifariji.+

  • Yeremia 31:12
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 Watakuja na kupiga vigelegele vya shangwe juu ya kilele cha Sayuni+

      Na kung’aa kwa sababu ya wema wa* Yehova,

      Kwa sababu ya nafaka na divai mpya+ na mafuta,

      Na kwa sababu ya wanakondoo na ndama.+

      Watakuwa* kama bustani iliyonyweshwa maji vizuri,+

      Nao hawatadhoofika tena.”+

  • Sefania 3:14, 15
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 14 Paza sauti kwa shangwe, Ee binti ya Sayuni!

      Paza sauti kwa ushindi, Ee Israeli!+

      Shangilia na kufurahi kwa moyo wako wote, Ee binti ya Yerusalemu!+

      15 Yehova ameondoa hukumu ulizokabili.+

      Amemfukuza adui yako.+

      Mfalme wa Israeli, Yehova, yuko katikati yako.+

      Hutaogopa msiba tena.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki