-
Isaya 2:3, 4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Na watu wa mataifa mengi wataenda na kusema:
“Njooni, twendeni juu kwenye mlima wa Yehova,
Kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo.+
Naye atatufundisha njia zake,
Nasi tutatembea katika vijia vyake.”+
4 Atatekeleza hukumu miongoni mwa mataifa
Na kunyoosha* mambo kuhusiana na watu wengi.
Watafua panga zao ziwe majembe ya plau
Na mikuki yao iwe miundu.+
Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa lingine,
Wala hawatajifunza vita tena kamwe.+
-