-
Yeremia 31:35, 36Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
35 Yehova,
Ambaye hutoa jua ili liangaze wakati wa mchana,
Sheria za* mwezi na nyota ili ziangaze usiku,
Anayeitibua bahari na kuyavuruga mawimbi yake,
Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi, anasema hivi:+
36 “‘Ikiwa sheria hizo zitakoma,’ asema Yehova,
‘Basi uzao wa Israeli utakoma daima kuwa taifa mbele zangu.’”+
-