-
Waroma 9:31-33Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
31 lakini Israeli, ingawa walikuwa wakiifuatilia sheria ya uadilifu, hawakuifikia sheria. 32 Kwa sababu gani? Kwa sababu waliifuatilia, si kwa imani, bali kama kwa matendo. Walijikwaa kwenye “jiwe la kukwaza”;+ 33 kama ilivyoandikwa: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe+ la kukwaza na mwamba wa kuangusha, lakini yeye anayemwamini hatakata tamaa.”+
-
-
1 Wakorintho 1:23Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
23 lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyeuawa kwenye mti, kwa Wayahudi ni sababu ya kujikwaa lakini kwa mataifa ni upumbavu.+
-