Hesabu 28:11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 11 “‘Mwanzoni mwa kila mwezi* mtamtolea Yehova dhabihu ya kuteketezwa ya ng’ombe dume wawili wachanga, kondoo dume mmoja, wanakondoo dume saba wasio na kasoro wote wa umri wa mwaka mmoja,+
11 “‘Mwanzoni mwa kila mwezi* mtamtolea Yehova dhabihu ya kuteketezwa ya ng’ombe dume wawili wachanga, kondoo dume mmoja, wanakondoo dume saba wasio na kasoro wote wa umri wa mwaka mmoja,+