14 Paza sauti kwa shangwe, Ee binti ya Sayuni!
Paza sauti kwa ushindi, Ee Israeli!+
Shangilia na kufurahi kwa moyo wako wote, Ee binti ya Yerusalemu!+
15 Yehova ameondoa hukumu ulizokabili.+
Amemfukuza adui yako.+
Mfalme wa Israeli, Yehova, yuko katikati yako.+
Hutaogopa msiba tena.+