-
Zaburi 137:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Kumbuka, Ee Yehova,
Mambo ambayo Waedomu walisema siku ambayo Yerusalemu lilianguka:
“Libomoeni! Libomoeni mpaka kwenye misingi yake!”+
-
-
Yeremia 49:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Kuhusu Edomu, Yehova wa majeshi anasema hivi:
“Je, hakuna tena hekima yoyote huko Temani?+
Je, ushauri mzuri umetoweka kwa wale walio na uelewaji?
Je, hekima yao imeoza?
-
-
Yeremia 49:22Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
Siku hiyo moyo wa mashujaa wa Edomu
Utakuwa kama moyo wa mwanamke anayezaa.”
-