-
Isaya 63:1-3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
63 Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu,+
Kutoka Bosra+ akiwa na mavazi yenye rangi zinazong’aa,*
Huyu aliye na mavazi ya kifahari,
Anayetembea kwa nguvu zake nyingi?
“Ni mimi, Yule anayesema kwa uadilifu,
Yule aliye na nguvu nyingi za kuokoa.”
2 Kwa nini mavazi yako ni mekundu,
Na kwa nini mavazi yako ni kama ya mtu anayekanyaga shinikizo la divai?+
3 “Nimelikanyaga pipa la divai nikiwa peke yangu.
Hakuna mtu yeyote kutoka katika mataifa aliyekuwa pamoja nami.
Niliendelea kuwakanyaga kwa hasira yangu,
Nami niliendelea kuwakanyaga kwa ghadhabu yangu.+
Mavazi yangu yalijaa madoa ya damu yao,
Nami nimezichafua nguo zangu zote.
-
-
Obadia 8, 9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Katika siku hiyo,” asema Yehova,
“Je, sitawaangamiza wenye hekima kutoka Edomu+
Na wenye utambuzi walio katika eneo lenye milima la Esau?
-