-
2 Mambo ya Nyakati 6:20Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
20 Macho yako na yatazame nyumba hii usiku na mchana, yatazame mahali ambapo ulisema kwamba utaweka jina lako,+ ili usikilize sala ambayo mimi mtumishi wako ninasali kuelekea mahali hapa.
-
-
Danieli 9:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Basi nikageuza uso wangu kumwelekea Yehova Mungu wa kweli, nikimsihi katika sala, pamoja na kufunga+ na kuvaa nguo za magunia na kujimwagia majivu.
-