-
2 Wafalme 24:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuja wakati watumishi wake walipokuwa wakilizingira jiji hilo.
-
-
2 Mambo ya Nyakati 36:18Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
18 Alipeleka kila kitu Babiloni, vyombo vyote vya nyumba ya Mungu wa kweli, vikubwa na vidogo, na pia hazina za nyumba ya Yehova na hazina za mfalme na wakuu wake.+
-
-
Danieli 1:1, 2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
1 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Mfalme Yehoyakimu+ wa Yuda, Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuja na kuzingira Yerusalemu.+ 2 Baada ya muda Yehova akamtia Mfalme Yehoyakimu wa Yuda mikononi mwake,+ pamoja na baadhi ya vyombo vya nyumba ya* Mungu wa kweli, akavileta katika nchi ya Shinari*+ katika nyumba ya* mungu wake. Akaviweka katika hazina ya mungu wake.+
-