-
Zaburi 87:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Mambo matukufu yanasemwa kukuhusu, Ee jiji la Mungu wa kweli.+ (Sela)
-
-
Ezekieli 43:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Akaniambia:
“Mwana wa binadamu, hapa ndipo mahali pa kiti changu cha ufalme+ na mahali pa nyayo za miguu yangu,+ ambapo nitakaa kati ya watu wa Israeli milele.+ Watu wa nyumba ya Israeli hawatalichafua tena jina langu takatifu,+ wao na wafalme wao, kwa ukahaba wao wa kiroho na kwa maiti za wafalme wao wanapokufa.
-