-
Yeremia 44:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 Wanawake wakasema: “Na tulipokuwa tukimtolea dhabihu Malkia wa Mbinguni* na kummiminia matoleo ya kinywaji, je, tulitengeneza keki za dhabihu zinazofanana naye na kummiminia matoleo ya kinywaji bila idhini ya waume zetu?”
-