-
Obadia 5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 “Ikiwa wezi wangekuvamia, ikiwa wanyang’anyi wangekuja usiku,
Je, hawangeiba tu wanachotaka?
Au ikiwa wavunaji wa zabibu wangekuja kwako,
Je, hawangeacha zabibu chache?
Lakini wewe utaangamizwa kabisa!+
-