Isaya 5:30 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 30 Siku hiyo watanguruma juu yakeKama mngurumo wa bahari.+ Mtu yeyote anayeitazama nchi ataona giza lenye kutaabisha;Hata nuru imetiwa giza kwa sababu ya mawingu.+ Yoeli 2:30, 31 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 30 Nami nitafanya mambo ya ajabu* mbinguni na duniani,Damu na moto na nguzo za moshi.+ 31 Jua litatiwa giza na mwezi utatiwa damu+Kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+
30 Siku hiyo watanguruma juu yakeKama mngurumo wa bahari.+ Mtu yeyote anayeitazama nchi ataona giza lenye kutaabisha;Hata nuru imetiwa giza kwa sababu ya mawingu.+
30 Nami nitafanya mambo ya ajabu* mbinguni na duniani,Damu na moto na nguzo za moshi.+ 31 Jua litatiwa giza na mwezi utatiwa damu+Kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+