-
Yeremia 50:13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
Yeyote anayepita kando ya Babiloni atatazama kwa hofu
Na kupiga mluzi kwa sababu ya mapigo yake yote.+
-
-
Ufunuo 18:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 Na malaika mwenye nguvu akainua jiwe lililo kama jiwe kubwa la kusagia na kulitupa baharini, akisema: “Hivi ndivyo Babiloni lile jiji kubwa litakavyotupwa chini kwa kasi sana, naye hatapatikana tena.+
-