Yeremia 20:9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 9 Basi nikasema: “Sitamtaja tena,Wala sitasema tena katika jina lake.”+ Lakini moyoni mwangu neno hilo lilikuwa kama moto unaowaka uliofungiwa mifupani mwangu,Nami nikachoka kulizuia ndani yangu;Singeweza tena kuvumilia.+
9 Basi nikasema: “Sitamtaja tena,Wala sitasema tena katika jina lake.”+ Lakini moyoni mwangu neno hilo lilikuwa kama moto unaowaka uliofungiwa mifupani mwangu,Nami nikachoka kulizuia ndani yangu;Singeweza tena kuvumilia.+