Isaya 30:10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’ Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+ Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+ Yeremia 5:31 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 31 Manabii wanatabiri uwongo,+Nao makuhani wanakandamiza kwa mamlaka yao wenyewe. Na watu wangu wanapenda mambo yawe hivyo.+ Lakini mtafanya nini mwisho ukifika?” Yeremia 14:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatabiri uwongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kuzungumza nao.+ Wanawatabiria ninyi maono ya uwongo na uaguzi* usiofaa kitu na udanganyifu wa moyo wao wenyewe.+
10 Wanawaambia waonaji, ‘Msione,’ Na wale wanaopata maono, ‘Msituambie maono ya kweli.+ Tuambieni mambo yanayotupendeza;* oneni maono ya udanganyifu.+
31 Manabii wanatabiri uwongo,+Nao makuhani wanakandamiza kwa mamlaka yao wenyewe. Na watu wangu wanapenda mambo yawe hivyo.+ Lakini mtafanya nini mwisho ukifika?”
14 Kisha Yehova akaniambia: “Manabii wanatabiri uwongo katika jina langu.+ Sikuwatuma wala kuwaamuru wala kuzungumza nao.+ Wanawatabiria ninyi maono ya uwongo na uaguzi* usiofaa kitu na udanganyifu wa moyo wao wenyewe.+