-
1 Samweli 4:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Isitoshe, Sanduku la Mungu lilitekwa, na wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, wakafa.+
-
-
Yeremia 26:9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 Kwa nini umetabiri katika jina la Yehova, ukisema, ‘Nyumba hii itakuwa kama Shilo, na jiji hili litaangamizwa na kuachwa bila mkaaji’?” Na watu wote wakakusanyika kumzunguka Yeremia ndani ya nyumba ya Yehova.
-