Yeremia 6:28 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 28 Wote ni watu wakaidi kabisa,+Wanaotembea huku na huku wakichongea.+ Wao ni kama shaba na chuma;Wote wamepotoka. Ezekieli 22:9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 9 Ndani yako kuna wachongezi wanaokusudia kumwaga damu.+ Ndani yako wanakula dhabihu milimani na kuendeleza mwenendo mchafu ndani yako.+
28 Wote ni watu wakaidi kabisa,+Wanaotembea huku na huku wakichongea.+ Wao ni kama shaba na chuma;Wote wamepotoka.
9 Ndani yako kuna wachongezi wanaokusudia kumwaga damu.+ Ndani yako wanakula dhabihu milimani na kuendeleza mwenendo mchafu ndani yako.+