-
Isaya 42:24, 25Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
24 Ni nani aliyemtia Yakobo mikononi mwa watekaji nyara
Na Israeli mikononi mwa waporaji?
Je, si Yehova, Yule ambaye tumemtendea dhambi?
25 Basi Yeye akaendelea kummwagia ghadhabu,
Hasira yake na ghadhabu ya vita.+
Iliteketeza kila kitu kumzunguka, lakini hakulikazia jambo hilo fikira.+
Iliwaka dhidi yake, lakini hakulitia jambo hilo moyoni.+
-